Naomba ushauri kwa wataalam wa kilimo

Jman

Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
39
Reaction score
2
Pole na majukumu ya kila siku, najtokeza kwenu kwa wataalam wa kilimo hasa kilimo cha tikiti maji(watermelon). Mm cna uzoefu na kilimo nimepata shamba
Hecta1 maeneo ya ulongoni g/ mboto dar es salaam. Swali langu je nkipanda tikitimaji mwezi wa tatu ntaweza kupata mavuno mazuri? Nmeuliza ivo kwa sababu mwezi wa march na april kwa kanda ya pwani huwa inavua nying sana na tikiti maji kwa mjibu wa wataalam wanasema haihitaji maji mengi. Naomba ushauri kabla cjaanza kuandaa shamba. Nakarbisha ushauri
 
utakula hasara mkuu yanalimwa wakati wa kipupwe jua kiasi si kwa sana yatapasuka pia kuna nyuzi humu fuatilia utapata ushauri
 
Nafhani ni vyema ukaziepuka mvua kama kweli unahitaji kuvuna mavuno mazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…