Naomba ushauri kwenye biashara ya kuuza samaki

Naomba ushauri kwenye biashara ya kuuza samaki

Goodluck7

Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
10
Reaction score
12
Wakuu msaada hapa mawazo tutani, napenda sana biashara ya samaki, naomba kujua ni kwa namna gani nitafanya bishara hii japo kwa mtaji mdogo ila tu inipe faida.

Kwa uenyeji mimi nipo mkoa wa mara jirani na ziwa victoria napenda sana kuiweza hii biashara na kama kuna mtu tunaeza piga nae mtaji chini tukashirikiana pia ni sawa tuwasiliane +255754965390 tupambane hadi tuitwe wafanyabiashara wakubwa wa samaki.
 
Tumia dondoo zifuatazo
Mzigo wa aina gani unataka
Kwa kias gan
Unapatikana wapi
Soko lake liko wapi
Namna ya kuifadhi
N.k
 
Wakuu msaada hapa mawazo tutani, napenda sana biashara ya samaki, naomba kujua ni kwa namna gani nitafanya bishara hii japo kwa mtaji mdogo ila tu inipe faida.

Kwa uenyeji mimi nipo mkoa wa mara jirani na ziwa victoria napenda sana kuiweza hii biashara na kama kuna mtu tunaeza piga nae mtaji chini tukashirikiana pia ni sawa tuwasiliane +255754965390 tupambane hadi tuitwe wafanyabiashara wakubwa wa samaki.
Niwe nakuagiza vibambala
 
Back
Top Bottom