Naomba ushauri mapenzi yananitesa

"wafiraji wote hawataurithi ufalme wa mbinguni'' ww fanya lkn ujue umekata tiket ya moja kwa moja kwenda kuzimu.
Mkuu mapenz yasikufanye ww kuwa kipofu. Kimbia huo uchafu
 
Watu ntakuja kuomba hadi ushauri wa "naskia njaa... nile au nisile?"

Common sense isn't very common.
 
"wafiraji wote hawataurithi ufalme wa mbinguni'' ww fanya lkn ujue umekata tiket ya moja kwa moja kwenda kuzimu.
Mkuu mapenz yasikufanye ww kuwa kipofu. Kimbia huo uchafu
Asante kaka kwa ushauri wako ndugu
 
If I fail, if I succeed
At least I'll live as I believe
No matter what they take from me
They can't take away my dignity
Because the greatest love of all
Is happening to me
I found the greatest love of all
Inside of me
The greatest love of all
Is easy to achieve
Learning to love yourself
It is the greatest love of all
 
Akikaribia kujifungua asile kitu ili fecal matter isitoke kunako chemba
 
Kijana "Funika kombe Mwana haramu apite"
 
Hahahahahhaaha Yaani mwanaume mwenzio alishamuaribu akaona hapa siwezi kuoa, akampiga chini alafu wewe unamtaka
 
Acha utoto, kwa uzoefu wangu huyu dada anaweza kuwa ndiye mpenzi wako wa kwanza, kumbuka wanawake wapo, tafuta mwenye maadili ili usije pata laana ya bure
 
Kijanaa embu tafuta manzi ingine ariifu huyo hakufai kabii...kabisa kweli...Angalia usije ukapata laana na wewe
Kijana,maneno yako na umri wako inaonyesha umepata mafunzo mazuri yenye maaadili mema bila kujali itikadi za dini yako.mpe Mungu na wazazi/walezi wako heshima yao.pambania future yako ungali kijana achana na wakala wa shetani ambaye makao yao ni ziwa la moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…