Naomba ushauri: Mchepuko wangu ameolewa leo, nimekubwa na msongo wa mawazo

Jifunze kumwacha aende.......
Japo ni ngumu....ila nasisitiza...siku ulipozaliwa, wwzazi wako hawakukuambia kuwa utakutana naye...so jitunze kumwacha aende...[emoji41][emoji41][emoji41]
Thank you boss najitahidi kwa hilo
 
Sawa kesho njoo msibani
We ukiomba ushauri humu mbona hawakujibu ujiue?
Miafrika ndivyo tulivyo.


Naomba wataalamu wanijibu kitaalamu ni husababisha kujing'ata wakati wa kula , kuanzia jana najing'ata mara kwa mara wakati wa kula<br />Naomba kuwakilisha
Nashauri ujiue
 
So now u will fvck her husband too.The ring expands.You, your wife,her side man,your side chick and her husband.5 of you and prolly u don use condom.

Coz a boo got a boo.
 
tunasemaga tu ila ukweli kaumia sababu hiyo alipenda alipendwa..sema hakuwa na jinsi maan aameshaoa tayari...stress ni wivu tu aisee kizuri kakikosa,..hata mi ingeniuma kama nimemzoea huyo mchepuko tunashare mengi ila **** hakufanyi asiolewe itabidi tu aolewe
 
Sasa si ndio msichepuke sasa
 
Pole sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…