Naomba ushauri, mdogo wangu aende Advance au chuo?

Naomba ushauri, mdogo wangu aende Advance au chuo?

icon_2000

Senior Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
177
Reaction score
256
Kuna mdogo wangu ambaye amemaliza form four ana ufaulu wa 1.14. ana penda kusoma nursing, radiology au MD.

Je ni bora aende advc au chuo mojakwa moja? Naombeni maoni yenu wakubwa🙏🙏
 
Kama ni nursing na radiology aende chuo moja kwa moja miaka mi 3 apige atajiendeleza huko mbeleni . Baada ya chuo miaka 3 n yeye aamue kufanya kazi au ajiendeleze moja kw moja

Ila kwa MD ni vizuri sana kupitia advance kisha MD. Ila ukisema apitie diploma uwezekano ni mkubwa asifikie hio MD. Miaka mi 3 clinical medicine na 5 MD pia Boom anaweza asipate % zote kama mko vzr kifedha sawa


Kuna mdogo wangu ambaye amemaliza form four ana ufaulu wa 1.14. ana penda kusoma nursing, radiology au MD.
Je ni bora aende advc au chuo mojakwa moja??
Naombeni maoni yenu wakubwa🙏🙏
 
Kama ni nursing na radiology aende chuo moja kwa moja miaka mi 3 apige atajiendeleza huko mbeleni . Baada ya chuo miaka 3 n yeye aamue kufanya kazi au ajiendeleze moja kw moja

Ila kwa MD ni vizuri sana kupitia advance kisha MD. Ila ukisema apitie diploma uwezekano ni mkubwa asifikie hio MD. Miaka mi 3 clinical medicine na 5 MD pia Boom anaweza asipate % zote kama mko vzr kifedha sawa
Ahsant kwa ufafanuzi mkuu
 
aende zake chuo tu adv ni kupoteza mda.siku hizi tunaangalia ujuzii sio mavyeti
 
Aende chuo utakuja kunishukuru siku moja
 
Samahani,naomba kujua zaidi,hivi kwenda moja kwa moja chuo au kwenda advance ni zipi faida zake au hasara,mi najua moja tu kwenda chuo faida yake ni kuokoa muda,je zipi faida au hasara zake, naomba kujua.
 
Samahani,naomba kujua zaidi,hivi kwenda moja kwa moja chuo au kwenda advance ni zipi faida zake au hasara,mi najua moja tu kwenda chuo faida yake ni kuokoa muda,je zipi faida au hasara zake, naomba kujua.
Kama tunavo jua kila chenye faida kina hasara ila tunaangalia chenye faida nying ndo kizuri.

1:Faida za kupita chuo moja kwa moj
A:Huokoa mda.
B:ushindani mdogo kwa kozi nyingi.
C: serikali inawachukulia kama watu wenye uzoefu wa kazi na mshahala wao ni mdogo ko hupewa ajira nyingi.
D:Uwezekano wa kufeli ni mdogo sana.
Hasara yake ni kuwa uwezekano mdogo wa kutopta mkopo akitaka kama degree.

Hasara za kwenda advc.
1:ushindani ni mkubwa sanaaaa. Kiasi kwamba kama hata pata kwa sasa 1.7 na kushuka bac,anaweza kwenda kozi ya maajabu zaidi.
2:kupoteza mda.
Faida zake ni kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata miopo.
 
Pia wakuu kwa vyuo vya serikali km mtu ameamua kwenda chuo baada ya Form IV anachotakiwa ni kuomba nafasi kwenye chuo husika sio au huwa inakuwaje?
 
Kuna mdogo wangu ambaye amemaliza form four ana ufaulu wa 1.14. ana penda kusoma nursing, radiology au MD.

Je ni bora aende advc au chuo mojakwa moja? Naombeni maoni yenu wakubwa🙏🙏

Advance

Kisha akatimize ndoto zake za utotoni pale MUHAS
 
Emu mkimbize haraka radiology pale Bugando,Mwanza kama una uwezo wa kumlipia ada. Note; Kama ana akili iliokomaa pia kutokana huko mwanza anaenda soma na watu wazma na starehe ni kama zote.
 
Kuna mdogo wangu ambaye amemaliza form four ana ufaulu wa 1.14. ana penda kusoma nursing, radiology au MD.

Je ni bora aende advc au chuo mojakwa moja? Naombeni maoni yenu wakubwa🙏🙏
Gender chuon moja kwa moja
 
Kama tunavo jua kila chenye faida kina hasara ila tunaangalia chenye faida nying ndo kizuri.

1:Faida za kupita chuo moja kwa moj
A:Huokoa mda.
B:ushindani mdogo kwa kozi nyingi.
C: serikali inawachukulia kama watu wenye uzoefu wa kazi na mshahala wao ni mdogo ko hupewa ajira nyingi.
D:Uwezekano wa kufeli ni mdogo sana.
Hasara yake ni kuwa uwezekano mdogo wa kutopta mkopo akitaka kama degree.

Hasara za kwenda advc.
1:ushindani ni mkubwa sanaaaa. Kiasi kwamba kama hata pata kwa sasa 1.7 na kushuka bac,anaweza kwenda kozi ya maajabu zaidi.
2:kupoteza mda.
Faida zake ni kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata miopo.
Asante ndugu
 
Back
Top Bottom