Teh tehAna umri gani? Na wewe ukirudi nuna kuwa huta do nae tena mpaka ajirekebishe.
Nitupie tarehe ya kuzaliwa ya mkeo nikupe jibuHabari za hizi saizi wanajamvi,
Naombeni ushauri,
Kuna jambo fulani nashindwa kulielewa kwa mke wangu, mke wangu ana mambo ya kujigumua. Mfano mmepangilia kwenda sehemu naye (out) ukafanya any kind of mistake as human being tayari anakasirika fasta na anakwambia siendi tena nenda mwenyewe.
So what can i do as an advice my fellow brothers, sisters hua nauzika kichizi.
Habari za hizi saizi wanajamvi,
Naombeni ushauri,
Kuna jambo fulani nashindwa kulielewa kwa mke wangu, mke wangu ana mambo ya kujigumua. Mfano mmepangilia kwenda sehemu naye (out) ukafanya any kind of mistake as human being tayari anakasirika fasta na anakwambia siendi tena nenda mwenyewe.
So what can i do as an advice my fellow brothers, sisters hua nauzika kichizi.
Manga shikamoo naona umebadili jinaAkikasirika wewe tia utani,mpaka acheke halaafu out itaendekea.Wako wote hivyo na inategemea huko out unajibehave vipi,pili out unapoenda wewe umechagua au yeye. Asijekuwa anataka kwenda beach wewe unampeleka baa kwenye makelele,yaani hapo inakula kwako visababu mmsiende havikosekani!
Halafu out inahitaji maandalizi,ni Romantic issue na inabidi ujipange!
Mke anahitaji kumbembelezwa ndugu yangu.
Sio mangaManga shikamoo naona umebadili jina
kweliiiSio manga
kuhs kutok namie apo hujapatia labd kuhs kususa apo nawz elewa coz nisha sema nikacok naona ndo alivo sasa naco itaj kujua ni jinsi gan nikabilian na tabia hio she loves and i also love herHapendi kutoka na wewe... Atakuwa ana mambo yake kufikia kwamba akitoka na wewe usalama ni mdogo...
Kwa upande mwingine atakuwa ni mtu wa kususa susa sana,hapendwi kukosolewa na hiyo tabia mtu ukua nayo toka udogoni...
Cc: mahondaw
Hebu check umemba wangu ni wa lini imekosea[emoji1] [emoji1]Manga shikamoo naona umebadili jina
So what can i do as an advice my fellow brothers, sisters hua nauzika kichizi.
Sio yeye... Manga yupokweliii
Asant kaka Mungu akubarikiAkikasirika wewe tia utani,mpaka acheke halaafu out itaendekea.Wako wote hivyo na inategemea huko out unajibehave vipi,pili out unapoenda wewe umechagua au yeye. Asijekuwa anataka kwenda beach wewe unampeleka baa kwenye makelele,yaani hapo inakula kwako visababu mmsiende havikosekani!
Halafu out inahitaji maandalizi,ni Romantic issue na inabidi ujipange!
Mke anahitaji kumbembelezwa ndugu yangu.