VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 512
- 398
Nina jamaa yangu amesoma BA with Education (Economics and Commerce) Ameajiriwa kama Mwl Secondary na Mwaka jana alipanda daraja TGS E.
kuna nafasi imetokea halmashauri anayofanyia Kazi wamemwabia kama anaweza wamfanyie recategorization awe mchumi ila daraja litashuka kuwa TGS D AU wamwazime ili aendelee na cheo chake cha ualimu (Daraja alilofikia la TGS E)/
Hivyo anaomba ushauri.
Ndugu wanajamvi utamshauri nini ili achague chaguo sahihi
kuna nafasi imetokea halmashauri anayofanyia Kazi wamemwabia kama anaweza wamfanyie recategorization awe mchumi ila daraja litashuka kuwa TGS D AU wamwazime ili aendelee na cheo chake cha ualimu (Daraja alilofikia la TGS E)/
Hivyo anaomba ushauri.
Ndugu wanajamvi utamshauri nini ili achague chaguo sahihi