Mm ni kijana npo katka harakati za kuanzsha an Association ambayo itakuwa based kwa wale watu ambao ni unemployed au hata waliokuwa employed ila ni katka kutowa sauti ya pamoja juu ya swala zma la kuondowa upungufu wa ajira kwa vjana ambao unawapeleka kwenye kuwa ma dependant na hata kuingya kwenye masusla ya ellegal lakin mpaka sasa hivi bhado cjajuwa my association objectives,sources of finance of my association na misaada mingne yoyote kwa anayejuwa juu ya hayo mambo plz naomba anisaidie mawazo wana jf
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Naona kama objectives umeshazitaja labda mission na vision ndio bado. Pia jaribu kuandaa project proposal umtumie mzungu unayemjua labda atakuwa interested atakutafutia misaada usisahau na business plan itakuguide
Strategy ya kupata mawazo ya msingi kutoka kwa watu makini inaanza toka kwako,ili watu wajue uko serious ungetakiwa kuandika vitu kwa ufasaha hata kama unachanganya ni sawa,jaribu kurudia kusoma uliyoyaandika.
mm ni kijana npo katka harakati za kuanzsha an association ambayo itakuwa based kwa wale watu ambao ni unemployed au hata waliokuwa employed ila ni katka kutowa sauti ya pamoja juu ya swala zma la kuondowa upungufu wa ajira kwa vjana ambao unawapeleka kwenye kuwa ma dependant na hata kuingya kwenye masusla ya ellegal lakin mpaka sasa hivi bhado cjajuwa my association objectives,sources of finance of my association na misaada mingne yoyote kwa anayejuwa juu ya hayo mambo plz naomba anisaidie mawazo wana jf
natanguliza shukrani zangu kwenu
Plz naomba unionyeshe wap nimekosea na unikosoe sio kuni fumba ndugu yangu xawa
Mimi si mtaalamu wa hayo mambo ila google uangalie how to prepare a business plan na project proposal.Pia kuna wataalamu wa hayo mambo jaribu pia kuwauliza wanaojihusisha na shughuli kama yako nafikiri ni NGO utafanikiwa
Ok thanks brooo
Siku zote objectives zako lazima zitoke kwenye thumuni la shughuli yako...kama shughuli yako ni kutatuA matatizo ya ajira kwa vijana basi hiyo ndio objective namba moja yako. Obj number 2 itakua ni kutafuta challenge zinazo face vijana katika swala zima la ajira...obj na 3 itakua ni kutaguta way out from the challenges.....kuusu sources of finance labda ungetuambia we we kwanza umeanda SBS ngapi from your own sources usijekua na mtaji mawazo tu