Naomba ushauri na uzoefu katika uchimbaji wa madini

Naomba ushauri na uzoefu katika uchimbaji wa madini

baro

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,129
Reaction score
4,028
Habari wakuu,

Nina shamba langu maeneo ya Morogoro, Melela kama eka 10 hivi, sasa kwenye lile shamba wakati ninalisafisha kuna mwamba umeonekana wa dhahabu wao wanaita mwamba dume na wadau wakazidi kusema palipo na mwamba dume, mwamba jike uko karibu maana miamba inatembea pamoja.

Hivyo nimekata shauri nataka kuanza kuchimba japo kama mchimbaji mdogo.

Naomba ushauri wenu na uzoefu wenu katika madini.
 
Kila La Heri Hapo Melela
Hala Hala Usije Ukaingia Chaka Ukaukaribisha Umasikini
Wengine Motivation Speaker
Dume Na Jike Oops
 
Hilo kama ni shamba lako, ikitokea tu kweli huo mkanda jike umeonekana, wahi wizara ya madini ukakatie leseni. Wakikuwahi wengine wakakata leseni basi utabaki mmiliki wa ardhi na leseni ya madini itakuwa ya mwingine. Madhara yake ni kuwa hutokuwa huru na uhalali wa kuchimba, kwa vile huna leseni. Kumbuka, ardhi ni yako (kinadharia), madini ya serikali
 
Hilo kama ni shamba lako, ikitokea tu kweli huo mkanda jike umeonekana, wahi wizara ya madini ukakatie leseni. Wakikuwahi wengine wakakata leseni basi utabaki mmiliki wa ardhi na leseni ya madini itakuwa ya mwingine. Madhara yake ni kuwa hutokuwa huru na uhalali wa kuchimba, kwa vile huna leseni. Kumbuka, ardhi ni yako (kinadharia), madini ya serikali
Asante sana
 
Back
Top Bottom