Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Wakuu kwanza Nawatakia sabato njema upendo na Mwanga ukatawale katika maisha yenu.
Nina ndugu yangu Ana umri wa miaka 33 kazaliwa 1992
Elimu yake darasa la saba.
Ndugu hana Kazi ya kudumu , hana baishara iliyosimama .
Achievement yake kubwa Ana familia mke na mtoto mmoja.
Mimi binafsi huwa napenda kusaidia watu Sana ili wafanikiwe .
Sasa nimepata hela Kama million nane .
Hii hela nitbaki na Kama million mbili .
Je nimtafutie ujuzi gani utakaompatia Maisha ili at least akija kutoboa 35 yrs awe ameshasimama.
Kuhusu huyu ndugu yangu
Mpole
Mtu wa kujituma
Anashaurika.
Guys I need ur insights
Mimi ni kaka yangu kanipita Kama four years tu .
Nina ndugu yangu Ana umri wa miaka 33 kazaliwa 1992
Elimu yake darasa la saba.
Ndugu hana Kazi ya kudumu , hana baishara iliyosimama .
Achievement yake kubwa Ana familia mke na mtoto mmoja.
Mimi binafsi huwa napenda kusaidia watu Sana ili wafanikiwe .
Sasa nimepata hela Kama million nane .
Hii hela nitbaki na Kama million mbili .
Je nimtafutie ujuzi gani utakaompatia Maisha ili at least akija kutoboa 35 yrs awe ameshasimama.
Kuhusu huyu ndugu yangu
Mpole
Mtu wa kujituma
Anashaurika.
Guys I need ur insights
Mimi ni kaka yangu kanipita Kama four years tu .