Aisee chaliii yangu kwa iyo hela jikite tu kwenye kilimo cha mbogamboga. Iyo biashara ya spare parts ni ya laana utakuwa unauza spare za wizi utakazoletea na siyo vizuriWadau nna mtaji wa Tsh 3,000,000 na ninataka nianzishe duka la kuuza Spare Parts. Ninapenda biashara hii kwa sababu mimi ni mdau wa magari sana. Naombeni ushauri nianze na bidhaa zipi.
NB; Eneo ambalo nitaanzisha tayari kuna garage 2 za kutengeneza magari
Asanteni
Fungua uzi mpyawadau nauza spare parts za magari makubwa kama vile scania,faw,shacman na mengine mengi nauza kwa rejareja na jumla piah gharama zetu ni nafuu kabisa waweza nicheck kupitia whatsapp yangu +8613156409154