Mwl Evarist Mchele
Member
- Jul 21, 2020
- 57
- 60
Xxxxxccx
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifanye fasta kutafta kubadilia au vipi mkuu??Mkuu tena fanya fasta
yaani ni haraka, XTRAIL watu wanaziogopanifanye fasta kutafta kubadilia au vipi mkuu??
vipi Mkuu, sema nenoAisee!
Mimi nataka niingie Xtrail new modelyaani ni haraka, XTRAIL watu wanaziogopa
ingia timu ya Toyota
kule ulikojenga ukaiacha nyumba naona hiy itakifaa sana kweny utelezi na milimaMimi nataka niingie Xtrail new model
Dah gari naikubali sana, ninayo mwaka wa nne sasa aisee hii gari iko njema sana...shida yake kifaa kikiharibika bei yake lazima uugue ila ukibadilisha utasahau milele...gari iko vizuri sana nashangaa sana ukibadilisha.Habari zenu wana jukwaa
Nimekuja kuomba ushauri wenu, nina xtrail 2001 cc 1990 , lakini nataka badilishane na mtu (nikimpata) anipe vitz au starlet, yote hii ni kwa sababu xtrail kwangu mimi ni kubwa katika kuendesha lakini pia nahitaji gari yenye CC ndogo tu...
Ha ha ha. Nilirudi kupanga chumba Kinondoni kule Kerege narudi weekend tu. Ila Mnyama X-trail aisee Lazima nilipuke tu hata kwa Mkopo NMB. Maana shemeji yenu anateseka sanakule ulikojenga ukaiacha nyumba naona hiy itakifaa sana kweny utelezi na milima
acha jamaa aibadilishe mapema
Ha ha ha. Nilirudi kupanga chumba Kinondoni kule Kerege narudi weekend tu. Ila Mnyama X-trail aisee Lazima nilipuke tu hata kwa Mkopo NMB. Maana shemeji yenu anateseka sana
AsanteeeUjasiri huu safi kabisa
Vitz mpya (0 kilometre) bado zipo kweli?Kwa nini usiuze na hela utakayopata ununulie vitz mpya
Nadhani MJUMBE alimaanisha used from Japan..ambapo baadhi ya watu husema ni mpya vile ndiyo inaingia nchini kwa mara ya kwanzaVitz mpya (0 kilometre) bado zipo kweli?
Okay. Ila nimeona Xtrail Bei imeshuka balaa sijui Ni nn kimetokeaNadhani MJUMBE alimaanisha used from Japan..ambapo baadhi ya watu husema ni mpya vile ndiyo inaingia nchini kwa mara ya kwanza
Generation ya kwanza lazima zishuke sana kwa sababu sasa hivi watu wanakimbilia nissan dualis na xtrail second generationOkay. Ila nimeona Xtrail Bei imeshuka balaa sijui Ni nn kimetokea
Vitz mpya (0 kilometre) bado zipo kweli?