computer engineer
Member
- Mar 26, 2018
- 76
- 38
Habari wana JF
Nina wazo moja la biashara ambalo naomba ushauri. Wazo langu ni hili nataka niwaunganishe wauzaji na wanunuaji wa mazao na mifugo kwa njia ya mtandao. Nina uelewa na Blogs hivyo nitaifungua blog ambayo ndo itakua kama soko la mtandaoni.
Hapa mkulima au mfanyabiashara atabofya kipengelewe cha kutangaziwa mazao yake kisha atajaza details zote ambazo ataulizwa kujaza kisha taarifa zake nitazipokea mm na kisha nitaweka tangazo la mazao yake na mawasiliano yake ili wanunuaji wamtafute.
Hakuna ununuaji mtandaoni lakin lengo la blog hii litakua kuwakutanisha tuu wauzaji na wanunuaji kisha wataanza kuwasiliana kwa ajili ya biashara.
Sasa kuhusu mimi kufaidika na biashara hii ni kwamba, mwanzo mfumo huu utaanza kwa free kabisa mpaka nitakapofikisha wauzaji wengi na wanunuaji wengi kuitembelea blog na tayari ntakua nafanya survey kwa wauzaji kama kweli wanapata wateja kupitia mfumo huu wa mazao online,
Hapo ndipo nitaweka ada fulani ambayo muuzaji atailipa kama ada ya membership katika mfumo huu kwa muda flan ambayo ni affordable ili awe anatangaziwa mazao yake bila shida yoyote na kwa wale ambao wao watakua temporal tuu labda alikua anauza mara moja tuu hawa nao pia watalipia kiasi flani tuu kidogo, na pia kutakua na offer flani kwa member ambao ndo wanaanza wakishaona mfumo unafaa nao watalipa membership cost.
Kwa upande wa mtaji , Skills za mambo ya mtandao ninazo na kingine labda ni kulipia domain name ya blog ili iwe ni rahisi watu kuisearch na vyote hivo vipo chini ya uwezo wangu. Naombeni ushauri juu ya wazo hili la biashara kipi kifanyike iwe nzurii zaid au kipi kitolewe.
Karibuni wote.
@computerengineer
Nina wazo moja la biashara ambalo naomba ushauri. Wazo langu ni hili nataka niwaunganishe wauzaji na wanunuaji wa mazao na mifugo kwa njia ya mtandao. Nina uelewa na Blogs hivyo nitaifungua blog ambayo ndo itakua kama soko la mtandaoni.
Hapa mkulima au mfanyabiashara atabofya kipengelewe cha kutangaziwa mazao yake kisha atajaza details zote ambazo ataulizwa kujaza kisha taarifa zake nitazipokea mm na kisha nitaweka tangazo la mazao yake na mawasiliano yake ili wanunuaji wamtafute.
Hakuna ununuaji mtandaoni lakin lengo la blog hii litakua kuwakutanisha tuu wauzaji na wanunuaji kisha wataanza kuwasiliana kwa ajili ya biashara.
Sasa kuhusu mimi kufaidika na biashara hii ni kwamba, mwanzo mfumo huu utaanza kwa free kabisa mpaka nitakapofikisha wauzaji wengi na wanunuaji wengi kuitembelea blog na tayari ntakua nafanya survey kwa wauzaji kama kweli wanapata wateja kupitia mfumo huu wa mazao online,
Hapo ndipo nitaweka ada fulani ambayo muuzaji atailipa kama ada ya membership katika mfumo huu kwa muda flan ambayo ni affordable ili awe anatangaziwa mazao yake bila shida yoyote na kwa wale ambao wao watakua temporal tuu labda alikua anauza mara moja tuu hawa nao pia watalipia kiasi flani tuu kidogo, na pia kutakua na offer flani kwa member ambao ndo wanaanza wakishaona mfumo unafaa nao watalipa membership cost.
Kwa upande wa mtaji , Skills za mambo ya mtandao ninazo na kingine labda ni kulipia domain name ya blog ili iwe ni rahisi watu kuisearch na vyote hivo vipo chini ya uwezo wangu. Naombeni ushauri juu ya wazo hili la biashara kipi kifanyike iwe nzurii zaid au kipi kitolewe.
Karibuni wote.
@computerengineer