UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
saada tutani sijawahi miliki gari nataka mwisho wa mwezi huu ninunue gari Kati ya TOYOTA SPACIO NEW MODEL AU TOYOTA RASTICS SASA Wadau na wazoefu nipeni ushauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuuSpacial ndo mpango mzima yaani. Mwonekano wake fresh kabisa.Ni fuel economy chukua chuma hiyo iko poa sana.
Asante mkuu PESA ipo nilitaka kujua IPI iko poa Kati ya hizo SHUKRANI AGAINHaina haja ya kujiuliza juu spacio hiyo gari IPO juu zaidi ya Ractis.
Kama hela ipo nunua Tu Mkuu
Ractis is the best,saada tutani sijawahi miliki gari nataka mwisho wa mwezi huu ninunue gari Kati ya TOYOTA SPACIO NEW MODEL AU TOYOTA RASTICS SASA Wadau na wazoefu nipeni ushaurii
According to me Funcargo ni among the top 3 ugliest cars by Toyota.Ractis is the best,
Ni muendelezo wa Toyota funcargo ambayo ilikuwa gari ngumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaAccording to me Funcargo ni among the top 3 ugliest cars by Toyota.
1.Toyota Will vs
2.Toyota BB
3.Toyota Funcargo
4.Toyota Mirai
5.Prius
I recommend Spacio anyday!
yeahs atleast inatazamika kistaili 🤣🤣🤣 japo inavyomalizkia ni ushuzi!
So spacio is the best .thank very muchAccording to me Funcargo ni among the top 3 ugliest cars by Toyota.
1.Toyota Will vs
2.Toyota BB
3.Toyota Funcargo
4.Toyota Mirai
5.Prius
I recommend Spacio anyday!
Ngoja Kiduku Lilo aje akushauri maana yeye ni mtaalamu wa magari hasa gari kama vitz, spacio etc.saada tutani sijawahi miliki gari nataka mwisho wa mwezi huu ninunue gari Kati ya TOYOTA SPACIO NEW MODEL AU TOYOTA RASTICS SASA Wadau na wazoefu nipeni ushauri.
Me too!According to me Funcargo ni among the top 3 ugliest cars by Toyota.
1.Toyota Will vs
2.Toyota BB
3.Toyota Funcargo
4.Toyota Mirai
5.Prius
I recommend Spacio anyday!
Mkuu Prius ni ugly? Kweli macho yanatofautiana kuona.
Spacio is better than Ractis in consideration of many factors..So spacio is the best .thank very much
Spare zake mpaka kwa mama muuza samaki.....................hahahahahaahahh dah! hatari sana.Spacio is better than Ractis in consideration of many factors..
1. Muonekano wa spacio ni mzuri kuliko Ractis ambayo huku nyuma imekaa vibaya sana...yaani ractis huku nyuma imekaa kama fisi aliyekatwa mkia..[emoji51][emoji51]
2.Spacio ina nafasi kubwa sana ndani na hizi new model most of them ni seven seats....hivyo uhakika wa kubeba familia au marafiki bila kujibana upo
3.Spacio karibu zote ni 1.8 L....hivyo inakupa nguvu zaidi kwenye milima ukilinganisha na Ractis ambazo nyingi ni 13.L..
4.Spacio ni imara zaidi kwa upande wa body ukilinganisha na Ractis....spacio ni toleo la corolla.
5..Spea za spacio mapaka mama muuza samaki anazo...
6.Pamoja na kwamba spacio ni 1.8 L, fuel consumption yake inavumilika hata kwa mtu wa kipato cha chini bora uwe unaijali service nzuri..
7.Kutokana na ukubwa wa body na injini ya Spacio, uhakika wa safari ndefu upo na balance nzuri barabarani ukilinganisha na hiyo ractis..
8....Ukishanunua uipende nayo itakupenda....ukiichukia nayo itakuchukia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Una picha ya hizo gari ?saada tutani sijawahi miliki gari nataka mwisho wa mwezi huu ninunue gari Kati ya TOYOTA SPACIO NEW MODEL AU TOYOTA RASTICS SASA Wadau na wazoefu nipeni ushauri.
Hoja hujibiwa kwa hoja.. please hebu tuelezee kidogo hiyo ractis ya 2011 ikoje....je ni kwa namna gani inaweza kuishida spacio...please, tell us ili mtu aweze kufanya chaguo sahihi