Naomba Ushauri Nifanye Biashara Ipi!?

Mkuu unatakiwa hiyo biashara uanze Sasa kabla huja pata hiyo pesa Kwa kua biashara inahitaji uzoefu wa kuiendesha . Ukikurupuka utakuja kupata uzoefu kkipindi hela imesha kata
Shukran sana. Ila nahitaji ushauri wa biashara ya kufanya. Eneo lipo around watu wengi
 
Mshukur mung san kw kukup furs kma hiyo kwan weng hawaipat.....il kikubw m nhc inategemean n wew bnfc un interest n kitu gan n ni kip unhc ukifny unawez ukapiga htua mbele....ckatai unaomb ushauri ni jmbo zur pia ila binfc ukiachn n maamuz y wat wew mwenyw pia untkiw uwe n maamuz yko.
 
Mimi nilifikiria kufungua pub au lodge ila sponsor ni mtu wa dini sana. hapendelei biashara za aina hyo ndo maana nkaomba ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…