Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
Wafugaji habari!
Nimeanza ufugaji wa kuku aina ya kroiler, ila sasa changamoto ipo kwenye gharama za CHAKULA.. aisee wanakula balaa, na wana miezi 4 .
Naomba mnisaidie, njia nzuri au nini nitumie ili kupunguza hizi gharama za chakula.
View attachment 1424187
Karibuni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimeanza ufugaji wa kuku aina ya kroiler, ila sasa changamoto ipo kwenye gharama za CHAKULA.. aisee wanakula balaa, na wana miezi 4 .
Naomba mnisaidie, njia nzuri au nini nitumie ili kupunguza hizi gharama za chakula.
View attachment 1424187
Karibuni
Sent from my iPhone using JamiiForums