Naomba ushauri, nijenge nyumba Dar au Mkoani - Mjini?

Naomba ushauri, nijenge nyumba Dar au Mkoani - Mjini?

Astrid

Member
Joined
Dec 4, 2023
Posts
28
Reaction score
27
Wakubwa,

Naombeni ushauri wenu kuna hili jambo linanitatiza.

Nina FEDHA kiasi cha 25 mill. Lengo langu ni kujenga nyumba - kwa ajili ya kupangisha tu, maana tayari nina makazi ya kuishi.

Nawaza kununua uwanja mkubwa kwa hiyo FEDHA yote 25 million ili angalau nipate square mita za kutosha kuanzia sq. Mita 1200+ LAKINI HOFU NI KUWA NAWEZA PATA DAR nje kabisa, yaani Dar vijijini huko na hata nikijenga bado nitakuwa nipo nje kabisa ya Dar (yaani nipo Dar vijijini) kitu ambacho hata kupata wapangaji wanaojielewa ni kazi.

Kwa hiyo FEDHA - 25 million kwa huku mkoani naweza pata eneo la ukubwa wa ekari mojo hapa MJINI na nikajenga apartment nzuri za kisasa.

Ikumbukwe kuwa hiyo 25 million ni kwa ajili ya kununua uwanja tu either DSM AU HAPA MAKAO MAKUU YA HUU MKOA NILIOPO, na sio ya kujengea.

Naomba ushauri wenu TAFADHALI: wapi niwekeze?

KARIBU KWA MAONI YAKO TAFADHALI 🙏🙏
 
Wakubwa,

Naombeni ushauri wenu kuna hili jambo linanitatiza.

Nina FEDHA kiasi cha 25 mill. Lengo langu ni kujenga nyumba - kwa ajili ya kupangisha tu, maana tayari nina makazi ya kuishi.

Nawaza kununua uwanja mkubwa kwa hiyo FEDHA yote 25 million ili angalau nipate square mita za kutosha kuanzia sq. Mita 1200+ LAKINI HOFU NI KUWA NAWEZA PATA DAR nje kabisa, yaani Dar vijijini huko na hata nikijenga bado nitakuwa nipo nje kabisa ya Dar (yaani nipo Dar vijijini) kitu ambacho hata kupata wapangaji wanaojielewa ni kazi.

Kwa hiyo FEDHA - 25 million kwa huku mkoani naweza pata eneo la ukubwa wa ekari mojo hapa MJINI na nikajenga apartment nzuri za kisasa.

Ikumbukwe kuwa hiyo 25 million ni kwa ajili ya kununua uwanja tu either DSM AU HAPA MAKAO MAKUU YA HUU MKOA NILIOPO, na sio ya kujengea.

Naomba ushauri wenu TAFADHALI: wapi niwekeze?

KARIBU KWA MAONI YAKO TAFADHALI 🙏🙏
Huna hiyo milion 25. Endelea kwanza kuitafuta.
 
Nina FEDHA kiasi cha 25 mill. Lengo langu ni kujenga nyumba - kwa ajili ya kupangisha tu, maana tayari nina makazi ya kuishi.
Kwa kuzingatia ghrama halisi za ujenzi na vifaa vya ujenzina gharama ya square meter moja (Hutumika hii lugha kitaamu ili kufanya makadirio ya Ujenzi).

Hiki kiasi, 25M, kwa Dar, tuelezene ukweli, hakitoshi na huwezi kamilisha ujenzi, wa nyumba kama nyumba tena ya kupangisha.

Kwa baadhi ya mikoa, unaweza jaribu, sababu tofauli waweza tumia za kuchoma, mbao zinapatikana kwa unafuu kiasi.
 
Ikumbukwe kuwa hiyo 25 million ni kwa ajili ya kununua uwanja tu either DSM AU HAPA MAKAO MAKUU YA HUU MKOA NILIOPO, na sio ya kujengea.
Hapan nimekuelewa. Endelea na mchakato. Commnt yangu ya awali naifuta.
=
My take: Hii sentence niliyokuote na ambayo umeiweka mwishoni kwenye post ya kwanza, ndio ilitakiwa iwe sentensi ya kwanza ili kulipa mtirirko bora bandiko lako na kupata michango stahiki ya wadau na kuepush mkanganyiko..
 
Wakubwa,

Naombeni ushauri wenu kuna hili jambo linanitatiza.

Nina FEDHA kiasi cha 25 mill. Lengo langu ni kujenga nyumba - kwa ajili ya kupangisha tu, maana tayari nina makazi ya kuishi.

Nawaza kununua uwanja mkubwa kwa hiyo FEDHA yote 25 million ili angalau nipate square mita za kutosha kuanzia sq. Mita 1200+ LAKINI HOFU NI KUWA NAWEZA PATA DAR nje kabisa, yaani Dar vijijini huko na hata nikijenga bado nitakuwa nipo nje kabisa ya Dar (yaani nipo Dar vijijini) kitu ambacho hata kupata wapangaji wanaojielewa ni kazi.

Kwa hiyo FEDHA - 25 million kwa huku mkoani naweza pata eneo la ukubwa wa ekari mojo hapa MJINI na nikajenga apartment nzuri za kisasa.

Ikumbukwe kuwa hiyo 25 million ni kwa ajili ya kununua uwanja tu either DSM AU HAPA MAKAO MAKUU YA HUU MKOA NILIOPO, na sio ya kujengea.

Naomba ushauri wenu TAFADHALI: wapi niwekeze?

KARIBU KWA MAONI YAKO TAFADHALI 🙏🙏
Jenga Dar hata kama ni kimbiji huko jenga huko huko
 
Hiyo 25m, goba utapata kiwanja poa kabisa. Angalizo hakitazidi sqm 400.

Kwa nyumba za biashara goba kwa sasa ni chimbo la maanaa
 
Ongeza mke halafu Kama unatumia Mazda badillisha gari nunua Lexus. Utapata pesa tu baadaye.
 
Nunua Dar Mkuu ,thamani huku ya nyumba yako haiwezekani kushuka hata siku moja
 
Back
Top Bottom