Jihadhari na wapigaji.Habari wapendwa kuna mtu kaniambia kuna biashara nzuri ya maharege na Dagaa Nyasa kutoka Tanzania huko Africa ya Kusini.
Mwenye kufahamu kwa kina naomba atupe ABC zake hapa
Ilianza biz ya Greenhouse inalipa,ikaja fuga Kware,mara forex inalipa,paap Mkojo wa Sungura ni deal sa hivi vyote hivo vimeshakufa kifo cha mende.
Akili kichwani ndg.