Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
Habari wanajukwaa natumai wazima,
Jamani mimi nina umri( 26) nina elimu ya form six. Nimeamua kutimuka nyumbani kabisa kisa mzee mtata kweli kakataa kuniendeleza chuo na pia hataki nitafute vya kujitegemea kwa sasa nimeamua kuenda kwenye miji ya huku LINDI sina chochote nategemea kuanza vibarua kuvuna alizeti na mtama.
Lengo langu nikitegeshea kipindi cha mvua ni Lime zao la UFUTA niuze nipatae kimtaji. Kwa wale wazoefu JE NIPO SAHIHI KATIKA KUJITAFUTIA AU NITATENGENEZA CHUKI KWA WAZAZI.
Jamani mimi nina umri( 26) nina elimu ya form six. Nimeamua kutimuka nyumbani kabisa kisa mzee mtata kweli kakataa kuniendeleza chuo na pia hataki nitafute vya kujitegemea kwa sasa nimeamua kuenda kwenye miji ya huku LINDI sina chochote nategemea kuanza vibarua kuvuna alizeti na mtama.
Lengo langu nikitegeshea kipindi cha mvua ni Lime zao la UFUTA niuze nipatae kimtaji. Kwa wale wazoefu JE NIPO SAHIHI KATIKA KUJITAFUTIA AU NITATENGENEZA CHUKI KWA WAZAZI.