Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Habari humu ndani? Nitangulie kwa kuwapa pole na hongera kwa mapambano na mwezi januari kama tunavyojua ni lazima kila tunapoanza mwaka lazima tuanze na January lakini ni mwezi ambao haujawahi kuzoeleka wala kuhishi kwa mazoe. Huu mwezi umekuwa na kanuni na taratibu zake ila Mungu ni mwema tunaenda kuumaliza 💪💪💪💪.
Note: Naomba ushauri nina kijana wangu kamaliza certificate of journalism na hataki kuendelea na journalism tena pia hajui diploma akachukue kozi gani ila matokeo yake ya form yalikuwa hivi;-
Civics-C
Hist-C
Geo-C
Kisw-C
Bios-D
English-C
Math-F
Naomba ushauri wa kozi gani itaendana na ushawishi wa soko la fursa kwa sasa ? Karibu 🙏
Note: Naomba ushauri nina kijana wangu kamaliza certificate of journalism na hataki kuendelea na journalism tena pia hajui diploma akachukue kozi gani ila matokeo yake ya form yalikuwa hivi;-
Civics-C
Hist-C
Geo-C
Kisw-C
Bios-D
English-C
Math-F
Naomba ushauri wa kozi gani itaendana na ushawishi wa soko la fursa kwa sasa ? Karibu 🙏