brownroger_
New Member
- Oct 26, 2018
- 3
- 3
Habari wapendwa,nina nusu heka ya shamba nahitaji kulima nyanya...je, ni kiasi gani cha pesa naweza kugharamia kuanzia ununuzi wa miche mpaka kufikia kuvuna wapendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eneo lipo mvuti-mbagala na nilikuwa nahitaji kufanya kilimo cha kawaida si cha green houseUngetoa maelezo ya kutosha ulipo ili wajue gharama kuliko na eneo.
Eneo lipo mvuti-mbagala na nilikuwa nahitaji kufanya kilimo cha kawaida si cha green house