Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Mm n kijana wa 28yrs. Ilitokea kupata watoto wawili wa kike na binti wa kichaga (muuru) ambapo watoto hao wote walikuwa prematured chini ya miezi 7na walikufa wote kwa nyakati tofauti (walipishana mwaka moja).
Mtoto wa wanza alikuwa prematured wa miezi6 hospital ilikataa kumtoa ingawa ilituonesha amefariki kwa madai wanamfanyia uchunguzi zaidi, wapili prematured wa miezi 7 tulimchukua kumzikia ardhi ya hyo binti. Wote walikuwa wa kike.
Baada ya hayo yote maisha yalisonga kawaida mpaka ikatokea ugomv wa mm na hyo binti ambao kimsingi ulianzishwa na dadaake hyo binti. Baadae dadake alimshuri arudi nyumbani kwao waende mwanza nayeye akakubali na akarudi kwao kwakaenda mwanza. Nikaambiwa nisikanyage kwao na hata kwenda kuangalia kaburi la huyo mtoto.
Tatizo: Toka huyo binti alipoondoka kila usiku kabla sijalala au nnapokuwa nmetulia tu taswira ya hyo mtoto akiwa monchwari au ndani ya incubator au ya siku ya mazishi yake (msiba wake) huwa inarudi kichwani
Naomba ushauri nifanyeje mana kuna wakati akili inastak na kichwa kinakuwa kizito na hakiwazi lolote zaidi ya hyo taswira mpk iishe ndio akili inaanza kuwaza kawaida na mood inarudi normal
Naomba ushauri nifanyeje
Mtoto wa wanza alikuwa prematured wa miezi6 hospital ilikataa kumtoa ingawa ilituonesha amefariki kwa madai wanamfanyia uchunguzi zaidi, wapili prematured wa miezi 7 tulimchukua kumzikia ardhi ya hyo binti. Wote walikuwa wa kike.
Baada ya hayo yote maisha yalisonga kawaida mpaka ikatokea ugomv wa mm na hyo binti ambao kimsingi ulianzishwa na dadaake hyo binti. Baadae dadake alimshuri arudi nyumbani kwao waende mwanza nayeye akakubali na akarudi kwao kwakaenda mwanza. Nikaambiwa nisikanyage kwao na hata kwenda kuangalia kaburi la huyo mtoto.
Tatizo: Toka huyo binti alipoondoka kila usiku kabla sijalala au nnapokuwa nmetulia tu taswira ya hyo mtoto akiwa monchwari au ndani ya incubator au ya siku ya mazishi yake (msiba wake) huwa inarudi kichwani
Naomba ushauri nifanyeje mana kuna wakati akili inastak na kichwa kinakuwa kizito na hakiwazi lolote zaidi ya hyo taswira mpk iishe ndio akili inaanza kuwaza kawaida na mood inarudi normal
Naomba ushauri nifanyeje