Habari,Tafadhali naomba ushaur wenu,napenda kuwa mwandishi wa habari hapo baadae.Nilijiunga na Young Reporter Academy ya South London kupitha Online kama reporter wao kutoka tanzania.baada ya kumaliza mkataba nao walintumha CV.Sasa napga kazi na Youth Journalism International ya US JE NAWEZA KUFKHA NDOTO XANGU KUPITIA HZ ACADEMY?