Kwa muda mrefu nimekuwa na ndoto katika uhalisia ni kuja kumiliki chuo kitakachokuwa kinatoa kozi mbali mbali katika ngazi ya Certificate na Diploma. Kozi hizo ni:-
-Uhudumu Wa ndege.
-Uhudumu wa Mahotelini.
-Utangazaji wa Radio na Tv.
-Teknologia ya kompyuta.
Hivyo napenda kuomba muongozo ili kije kuwa kisheria hapa Tanzania. Kwa heshima napenda kuwasilisha kwenu Waungwana.
NOTE: Chuo hichi ni kwa msaada wa watu kwa makubaliono maalumu.