Usifikirie kizembe. The lower the price the higher the demand, but inorder to maximize revenue within low priced market inahitajika kuongeza supply.
What about Equillibrium point?
Kama bei ikishuka mahitaji (demand yataongezeka) na kama ugavi (supply) hautaongezeka soko litapandisha bei kufikia point of DEMAND=SUPPLY
Ndugu wapendwa, Je ni kweli kuna mfumo wa kutumia udongo wa mfinyanzi kwa kuchanganya na cement kidogo ukapata tofari zitakazo saidia kujenga nyumba kwa gharama nafuu? Ukitembelea web site Brick and Block Machine Manufacturers Hydraform wanasema interlocking bricks zinapunguza gharama za ujenzi kwa 50%, je kunaukweli? nipeni taarifa zaidi wadungu
Ndugu wapendwa, Je ni kweli kuna mfumo wa kutumia udongo wa mfinyanzi
i have been making compressed earth bricks for 2 years in kaole,i have build a small house walls.and lots more
kaka ushauri wangu , angalia kwa makini interblocking zilikuja na zikaanza kuvuma sasa zimepotea watu wanajengea ukuta tu . Usikubali kufanya majaribio subiri technology hiyo itumike kwanza then uone ila bora tumia tofali za kawaida zenye ratio bora
solution will come on due date.................inamaana hata watu wameacha kupeleka watoto wao shule wakisubiri elimu ya bure?...................u're a gud lier
Wakuu ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya real estate kwa huku kwetu. Msi shangae kuona siku hizi nipo huku sana ila nimeona tu kujadili siasa kila siku hakutu saidiii sisi wananchi wa kawaida bora tuji shighulisha na ujasiriamali na sisi Mungu atujalie tufanikiwe.
Anyway mimi bado nipo chuoni na nipo katika harakati ya kuandika business plan kuhusu biashara ya nyumba. Wazo langu ni ujengaji wa nyumba za bei nafuu ambazo mwananchi wa kawaida ana weza kumudu. Gharama za nyumba ninazo fikiria ni kati ya milioni 5 hadi 15.
Sababu ya kutaka kufanya nyumba za bei nafuu ni hizi
1. Bado sija jijenga vya kutosha kuwezi kumudu nyumba za gharama. Nime fikiria kwamba nyumba za bei nafuu una weza kuanza nazo chache na pia nahisi upatikanani we mkopo benki utakuwa rahisi zaidi.
2. Henry Ford wa Marekani alieanzisha kampuni za magari ya Ford alit umia logic kwamba kutengeneza magari ya bei nafuu kuta ongeza idadi ya watu wanao weza kuya nunua. Kwa maana hiyo hata kama magari yake hayata kuwa ghari watu wengi kuya mudu ina maanisha ukubwa zaidi wa soko.
Kwa kutengeneza nyumba za bei nafuu natumai Watanzania wengi zaidi wata weza kumudu na biashara ita kuwa na soko kubwa zaidi ya kukua.
Ningependa kuuliza maswali yafuatayo.
1. Sehemu gani yenye viwanja nafuu. Kwa maana viwanja vina changia kwa kiasi kikubwa bei za nyumba.
2.Ni sehemu gani marketable?
3. Je kwa milioni tano hadi kumi na tano una weza kujenga nyumba yenye ukubwa kiasi gani na yenye features zipi?
Msi shangae maelezo yangu yako broad sana kwa maana natarajia kwa jinsi mjadala utakavyo kwenda ndiyo tutaingia kwenye specifics. Kwa sasa mtaji sina ila nataka kuanza kujifunza na kuandaa kuandika business proposal yangu. Natarajia baada ya hapo nitafute pesa za kujenga nyumba hizi 3 hadi tano kwa kuanzia. Natumai kwenye nia kuna njia.
naomba tuwasiliane katika 0713-039875i have been making compressed earth bricks for 2 years in kaole,i have build a small house walls.and lots more