Ngosha Kogema
Member
- Oct 16, 2013
- 34
- 3
Habari wana JF, jana usiku kibaka kabenjua luva za madirisha nyumbani kwangu na kufanikiwa kuondoka na simu HTC ya wife! Kotokana na tukio hili imenibidi long term plan yangu ya kujenga uzio iwe ni emergency plan kunusuru majanga mengine. Naomba ushauri ktk bajeti ya 7M Uzio upi utafaa kati ya hizi...
1. Ukuta wa tofari za kuchoma na square pipe au nondo
2.ukuta wa tofari za block na square pipe au nondo
3. Uzio wa waya
uzio utakuwa na urefu wa mita 50 kwa 17. Nitafurahi pia kupata design kwa wale wataweza kuambatanisha picha kwa Msaada zaidi.
Asanteni.
Nawasilisha.
1. Ukuta wa tofari za kuchoma na square pipe au nondo
2.ukuta wa tofari za block na square pipe au nondo
3. Uzio wa waya
uzio utakuwa na urefu wa mita 50 kwa 17. Nitafurahi pia kupata design kwa wale wataweza kuambatanisha picha kwa Msaada zaidi.
Asanteni.
Nawasilisha.