Mandison
Senior Member
- Mar 10, 2017
- 191
- 110
Habari wana JF!
Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta.
Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na kwa kiasi kikubwa yanasaidia kupunguza gharama za kilimo kwa wanaolima mashamba makubwa.
Nimejaribu kutafuta madawa ya palizi ya ufuta lakini bado sijafanikiwa. Naomba ambaye anafahamu hayo madawa kama yapo anielekeze tafadhali.
Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta.
Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na kwa kiasi kikubwa yanasaidia kupunguza gharama za kilimo kwa wanaolima mashamba makubwa.
Nimejaribu kutafuta madawa ya palizi ya ufuta lakini bado sijafanikiwa. Naomba ambaye anafahamu hayo madawa kama yapo anielekeze tafadhali.