Ni mazingira gani, au ni umri gani mwanaume anafikia hatua anaamua
kutokuoa kabisa. Nalizimishwa kuoa na ndugu, jamaa na marafiki, (sijui nimuoe nani sasa) eti umri nilionao (32) ndo wa kufanya
maamuzi, baada ya hapo eti nitaona ni kawaida tu kuishi bila mke au nitakuwa naona mke ni kero tu, mchumba wangu anasoma chuo, bado miaka 2 amalize. Kwao hawakubali kabisa nimuoe mpaka amalize kusoma, nami nakubaliana nao. Na tatizo kubwa, nina ndugu zangu watatu na wakubwa zaidi yangu (35,39,39), wana maisha yao ya Mtanzania wa kawaida. Lakini hawajaoa na hawataki tena mtu awashauri kuoa, wakisema kukaa na kuanza kubanwa na mke ni kero kwao. Je, ni kweli ukipita umri fulani hamu na hamasa ya kuwa na mke inapungua au inapotea kabisa. kweli nahitaji kukaa na mke, ila wadadisi wanasema kuna muda unafika hamu inaisha.
Mada hii imetugawa usiku wa jana na jamaa zangu. nimeamua kuileta kupata ushauri wa kitaalamu, kimazoea na kimazingira.
Ahsante sana.
kutokuoa kabisa. Nalizimishwa kuoa na ndugu, jamaa na marafiki, (sijui nimuoe nani sasa) eti umri nilionao (32) ndo wa kufanya
maamuzi, baada ya hapo eti nitaona ni kawaida tu kuishi bila mke au nitakuwa naona mke ni kero tu, mchumba wangu anasoma chuo, bado miaka 2 amalize. Kwao hawakubali kabisa nimuoe mpaka amalize kusoma, nami nakubaliana nao. Na tatizo kubwa, nina ndugu zangu watatu na wakubwa zaidi yangu (35,39,39), wana maisha yao ya Mtanzania wa kawaida. Lakini hawajaoa na hawataki tena mtu awashauri kuoa, wakisema kukaa na kuanza kubanwa na mke ni kero kwao. Je, ni kweli ukipita umri fulani hamu na hamasa ya kuwa na mke inapungua au inapotea kabisa. kweli nahitaji kukaa na mke, ila wadadisi wanasema kuna muda unafika hamu inaisha.
Mada hii imetugawa usiku wa jana na jamaa zangu. nimeamua kuileta kupata ushauri wa kitaalamu, kimazoea na kimazingira.
Ahsante sana.