Naomba ushauri wa jinsi ya kupata hati ya kiwanja

Naomba ushauri wa jinsi ya kupata hati ya kiwanja

simon baker

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2017
Posts
522
Reaction score
698
Habari,

Mimi ni mgeni sekta hii ya ardhi maana nimeishi miaka bila kubahatika kujenga wala kununua nyumba..

Sasa kilichonipelekea kufungua Uzi huu nimefiwa na mama yangu mzazi na alikuwa ana nyumba Temeke...hakuwa na hati ya eneo maana aliipangisha tu...document zilizopo ni za kulipia Kodi ya ardhi nk.

Sasa nataka process kupata hati ya kiwanja kile maana Mimi ni msimamizi wa mirathi ya bimkubwa baada ya kukaa kikao cha familia...

Nawasilisha
 
Lazima kuwepo na Offa inaitwa kama eneo ni surveyed kama ni skwata barua ya mauziano ya serikali ya mtaa..

Anzia serikali ya mtaa wakupe ufafanuzi..

Ila usi dhulumu watoto wake
Point nikitaka kutoa ushaur huu pia
 
Lazima kuwepo na Offa inaitwa kama eneo ni surveyed kama ni skwata barua ya mauziano ya serikali ya mtaa..

Anzia serikali ya mtaa wakupe ufafanuzi..

Ila usi dhulumu watoto wake

Nadhani mtoa mada umepata muongozo.
 
Lazima kuwepo na Offa inaitwa kama eneo ni surveyed kama ni skwata barua ya mauziano ya serikali ya mtaa..

Anzia serikali ya mtaa wakupe ufafanuzi..

Ila usi dhulumu watoto wake
Kumbe hati ya mauziano ya serikali za mtaa ina maana kubwa eeh?
 
Lazima kuwepo na Offa inaitwa kama eneo ni surveyed kama ni skwata barua ya mauziano ya serikali ya mtaa..

Anzia serikali ya mtaa wakupe ufafanuzi..

Ila usi dhulumu watoto wake
JFs ni kisima cha maarifa
 
Serikali za mitaa hawana haki ya nb kisheria kusimamia uuzwaji wa ardhi.
Wenye mamlakani ni makamishina wa viapo mfano Wakili.
 
Back
Top Bottom