Salaamu wakuu.
Naomba ushauri wa kiafya JF doctor.
Ni muda wa siku tatu sasa najisikia hali ya mgongo kuchoka, kichwa kuuma, mkojo unauuma napokojoa, halafu usaha mweupe kutoka Kwenye Penis.
Nipo kwenye ndoa na baada ya hali kutokea nilihisi kupata zinaa nikamuuliza mke wangu akasema haelewi.
Kwa muda nilikuwa nimesafiri nimerud ndani ya siku tatu hizo na kushiriki tendo na mke.
@JF doctor
Jamaa yangu wahi hospital kwa vipimo zaidi wenyewe wanakwambia hayo mengine ni ya kawaida tu hata ikianza kumeguka ukiwahi hospital watakupiga masindano utapona tu, siku hizi wanaogopa 'Kisukari' ukikipata hicho 'Kisukari' mkeo utamwangalia TU hivi Ngoma inagoma kusimama kinasimama kichwa tuSalaamu wakuu.
Naomba ushauri wa kiafya JF doctor.
Ni muda wa siku tatu sasa najisikia hali ya mgongo kuchoka, kichwa kuuma, mkojo unauuma napokojoa, halafu usaha mweupe kutoka Kwenye Penis.
Nipo kwenye ndoa na baada ya hali kutokea nilihisi kupata zinaa nikamuuliza mke wangu akasema haelewi.
Kwa muda nilikuwa nimesafiri nimerud ndani ya siku tatu hizo na kushiriki tendo na mke.
@JF doctor
Shukrani Mkuu nawahiJamaa yangu wahi hospital kwa vipimo zaidi wenyewe wanakwambia hayo mengine ni ya kawaida tu hata ikianza kumeguka ukiwahi hospital watakupiga masindano utapona tu, siku hizi wanaogopa 'Kisukari' ukikipata hicho 'Kisukari' mkeo utamwangalia TU hivi Ngoma inagoma kusimama kinasimama kichwa tu
Pole sana mkuu, majibu yapoje na mke anasemaje?Daaaah! My friend nina wakati mgumu kuliko kawaida [emoji24]
Samahani hivi ni kweli mwenye kisukari hasimamishi km ni hivo kuna jamaa yangu atakua kapigwa maana ana watoto wanne na huyo sukari ndo imewaka makazi mpaka anatembea na sindano je ni kweli haisimami [emoji2962]Jamaa yangu wahi hospital kwa vipimo zaidi wenyewe wanakwambia hayo mengine ni ya kawaida tu hata ikianza kumeguka ukiwahi hospital watakupiga masindano utapona tu, siku hizi wanaogopa 'Kisukari' ukikipata hicho 'Kisukari' mkeo utamwangalia TU hivi Ngoma inagoma kusimama kinasimama kichwa tu