Naomba Ushauri wa kibiashara

mlingwaandrew

Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
6
Reaction score
1
Mwaka umeanza vyema kwa upande wangu, maana jana nilikuwa maskini lakini leo nimeamka tajiri kidogo kwa kupata TShs. 50M. Ingekuwa ni wewe ungezifanyia biashara gani? Ushauri wako ni muhimu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hongera mkuu,ngoja waje wa wazee wa mipango
 
Kwanza angalia eneo ulipo. Angalia fursa zilizopo mfano Kilimo cha mazao, mifugo, biashara kwa kuangalia mahitaji na kadhalika. Kisha usikurupuke fanya utafiti wa soko na changamoto za fursa hizo. Kwa kuongea na watu wanaofanya hayo makitu na kisha shortlist mambo kwa kuangalia changamoto, risks, na uwezo wako kisha fanya moja. Lakini pia si lazima kufanya hayo ulipo wawezafanya maeneo mengine provided upo well informed. Hizo ni nyingi saaana kukick off lakini usiwe na papara otherwise kama ulivyoamka unaweza lala ukajikuta upo mweupeeeeeeeeeee kama teja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…