Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 45, ni Mkristo dhehebu KKKT, mwaka 2001 nilifunga ndoa ya Kikristo na nimefanikiwa kuwa na watoto 5, mwaka 2007 kulikuwa na mgogoro mkubwa katika ndoa uliopelekea kutengana kwa muda wa mwaka mmoja
Wakati huo tulikuwa na watoto 2, wakati tumetengana nilikutana na mwanamke mwingine na nilimpa mimba, lakini alienda chuo akiwa na mimba mbali na mimi, niliendelea kumpa matunzo akiwa chuoni lakini mke wangu naye alijirudi na tukaendelea na maisha
Hivyo nikawa naishi na wake wawili lakini bi mkubwa hakuju, niliendelea na maisha hayo lakini katika wakati mgumu, bahati nzuri nilienda chuo kusoma na huko nako nikazaa na mwananke mwingine, kwa ufupi hao wote naishi nao na wanafahamiana
Bi mkubwa sasa ana watoto 5 wawili wa kike na wakiume 3, mke wa pili ana watoto wawili wote wa kiume, bi mdogo ana watoto 3 wawili wa kiume na wakike mmoja, nimetoa mahari kwa mke wa pili na bi mdogo, wote ni wakristo, bi mkubwa nimeishi naye miaka 18 sasa
Mke wapili nina miaka 11 na bi mdogo miaka 7, kila mmoja ana kwake na nina mashamba kadhaa na viwanja mbalimbali, je sheria inasemaje kuhusu khaki ya kurithi mali, nikiwa hai au nikiwa nimekufa kwa bahati mbaya, naomba sana mnishauri kisheria zaidi
ahsanteni
Wakati huo tulikuwa na watoto 2, wakati tumetengana nilikutana na mwanamke mwingine na nilimpa mimba, lakini alienda chuo akiwa na mimba mbali na mimi, niliendelea kumpa matunzo akiwa chuoni lakini mke wangu naye alijirudi na tukaendelea na maisha
Hivyo nikawa naishi na wake wawili lakini bi mkubwa hakuju, niliendelea na maisha hayo lakini katika wakati mgumu, bahati nzuri nilienda chuo kusoma na huko nako nikazaa na mwananke mwingine, kwa ufupi hao wote naishi nao na wanafahamiana
Bi mkubwa sasa ana watoto 5 wawili wa kike na wakiume 3, mke wa pili ana watoto wawili wote wa kiume, bi mdogo ana watoto 3 wawili wa kiume na wakike mmoja, nimetoa mahari kwa mke wa pili na bi mdogo, wote ni wakristo, bi mkubwa nimeishi naye miaka 18 sasa
Mke wapili nina miaka 11 na bi mdogo miaka 7, kila mmoja ana kwake na nina mashamba kadhaa na viwanja mbalimbali, je sheria inasemaje kuhusu khaki ya kurithi mali, nikiwa hai au nikiwa nimekufa kwa bahati mbaya, naomba sana mnishauri kisheria zaidi
ahsanteni