Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Usiwasingizie vodacom, tatizo lipo kwenye system za benki, wameanzisha huduma hizi wakati wanajijua hawana uwezo. Mimi nami yamenikuta zaidi ya mara tatu kwa CRDB na sim banking yao hadi sasa nimeacha kutuma pesa kwenda bank kwa kutumia mitandao ya simu. Ukipiga voda wanakwambia pesa zipo bank, ukiangalia account hakuna. Nilivyofuatilia bank wakaniambia niandike barua na kuambatanisha na risiti ya muamala, ndipo wakaingiza, nikawalaumu nini maana ya kuleta huduma ya simbanking, maana yake tunaepuka foleni za benki.Ndugu zangu sikutaka kuleta huu uzi kama mfanyabiashara mdogo kuomba msaada wa kisheria kuhusu kampuni ya Vodacom Tanzania.
Ninavyoandika huu uzi ni mwezi sasa nilituma pesa kwenda akaunti yangu kama akiba ili nitakapofikia kiasi ninachotaka kinisaidie katika manunuzi ya bidhaa.
Tangu siku natuma nilipokea tu sms yao Vodacom hivyo nikasubiri sms ya bank ambayo sikuipata.
Baada ya masaa machache nilipiga Vodacom Mpesa wakaniambia pesa yangu haijaenda bank na iko 'hewani" hivyo nisubiri masaa 24.
Masaa hayo yakapita nikapiga simu tena na kupewa siku kumi za kazi watakuwa wameshanirekebishia aidha wazirudishe ama ziende bank.
Ndugu zangu ninavyoandika hapa nishapiga simu zaidi ya 20 hapo Vodacom huduma kwa wateja lakini majibu yao ni tunashughulikia.
Baadae nikaamua kwenda Voda shop mjini huko nikaambiwa nitoe kopi ya kitambulisho na nikapewa masaa 24 hata hivyo hadi leo pesa haipo bank wala haijarejeshwa kwenye namba yangu ya Vodacom (akaunti yangu ya Mpesa).
Siku tatu zilizopita nilipiga simu hapo Vodacom akapokea kaka mmoja ambaye alinijibu kwa hasira na dharau kuwa maadamu ulipata meseji ya muamala Vodacom hatuhusiki hivyo nenda bank ukaangalie pesa yako.
Nilimwambia siku hiyo niliangalia pesa bank na haijafika hata hivyo kuna mfanyakazi hapo bank huwa ananisaidia sana kila nikihitaji kufahamu kama pesa ishaingia pia kupitia simu yangu ambayo imesajiliwa kupata taarifa mbalimbali za akaunti yangu.
Baada ya majibu ya huyo kaka nilipiga tena akapokea dada mmoja ambaye namshukru alinieleza kwa kina kuwa wao wakipokea pesa huwa wanazituma kwa vendor (kati ya shivacom sinauhakika) baadae ndipo zinaenda bank lkn wamekuwa wanatoa hizi taarifa hapo kwa vendor lkn hatoi mrejesho (anakaa kimya).
Ndugu zangu ni hatua zipi nichukue ili
(1) Nipate pesa zangu?
(2) Gharama na muda wa kufuatilia pesa zangu?
Tashukuru sana ndugu zangu ukizigatia pesa kwa wakati huu ni ngumu sana kuipata leo hii iko haijulikani ilipo.
NB: Niko tayari kutoa kumbukumbuku za huo muamala pm kwa atakayetaka kuhakiki.
Sasa ndugu tusiwalaumu kwa nini? Wewe kama unakaa mjini wezako tuko shamba, nimepiga simu hapo siku za mwanzo nikapewa siku 10 za kazi zimepita, baadae zikafika siku 20 na sasa mwezi mzima wamebadiri na kuanza kuniambia niwapigie Shivacom!!! Na namba za Shivacom wamenipa sasa mimi nilituma pesa kupitia Vodacom Mpesa ama Shivacom?Usiwasingizie vodacom, tatizo lipo kwenye system za benki, wameanzisha huduma hizi wakati wanajijua hawana uwezo. Mimi nami yamenikuta zaidi ya mara tatu kwa CRDB na sim banking yao hadi sasa nimeacha kutuma pesa kwenda bank kwa kutumia mitandao ya simu. Ukipiga voda wanakwambia pesa zipo bank, ukiangalia account hakuna. Nilivyofuatilia bank wakaniambia niandike barua na kuambatanisha na risiti ya muamala, ndipo wakaingiza, nikawalaumu nini maana ya kuleta huduma ya simbanking, maana yake tunaepuka foleni za benki.
Ulituma kwenda bank gani? Pesa yako haipotei kwenye mitandao ya simuSasa ndugu tusiwalaumu kwa nini? Wewe kama unakaa mjini wezako tuko shamba, nimepiga simu hapo siku za mwanzo nikapewa siku 10 za kazi zimepita, baadae zikafika siku 20 na sasa mwezi mzima wamebadiri na kuanza kuniambia niwapigie Shivacom!!! Na namba za Shivacom wamenipa sasa mimi nilituma pesa kupitia Vodacom Mpesa ama Shivacom?
Mi nilituma toka nmb kwenda voda. Voda hazikufika na nmb zimesepa nikaenda kote kila mtu anarusha mpira nikaona time is more than my amount of money. Kuanzia hiyo siku nimeacha rasmi kutuma pesa toka bank kwenda kwenye simu au kwenye simu kwenda bank. Bado hawajajipanga na huduma si salama maana ukireport issue inakuwa kama ugomvi majibu ni ya karaha. Hela inatoweka kirahisi unatumia gharama kubwa kufuatilia kuliko thamani ya pesa.Asante
Hata mimi nahisi wanazifanyia biashara mchana kweupeNimekutana na watu wengi sana wenye tatizo kama hili chamuhimu ni kujipanga na kuwapeleka mahakamani tu maana ni pesa nyingi mno waliyohodhi bila utaratibu na wao wanaendelea kuifanyia biashara, mfano nilikutana na mzee naye alikua akifanya malipo ya deni lake Access bank cha ajabu hiyo pesa mpaka leo hajafika ni mwezi wa tatu huu
Pole wewe mwenzangu Mimi toka tarehe 10/5/2016 nadai mpesa pesa walizochukua kwenye mpesa na kuninulisha vifurishi internet vya elfu 10 mpaka pesa aikaisha ndio ikawacha elfu 40 nilipodai wakaniomba samahani kwa ni tatizo limetokea wakati wanabadilisha kutoka G 1 kwenda G 2 hivyo watanirudishia hela zangu baada ya SAA 72 saa 72 mpaka Leo hii tarehe 7/9/2016 sijapewa hela nimepiga simu Mara zaidi ya 20 ataa Sijui nifanyaje !!??Ndugu zangu sikutaka kuleta huu uzi kama mfanyabiashara mdogo kuomba msaada wa kisheria kuhusu kampuni ya Vodacom Tanzania.
Ninavyoandika huu uzi ni mwezi sasa nilituma pesa kwenda akaunti yangu kama akiba ili nitakapofikia kiasi ninachotaka kinisaidie katika manunuzi ya bidhaa.
Tangu siku natuma nilipokea tu sms yao Vodacom hivyo nikasubiri sms ya bank ambayo sikuipata.
Baada ya masaa machache nilipiga Vodacom Mpesa wakaniambia pesa yangu haijaenda bank na iko 'hewani" hivyo nisubiri masaa 24.
Masaa hayo yakapita nikapiga simu tena na kupewa siku kumi za kazi watakuwa wameshanirekebishia aidha wazirudishe ama ziende bank.
Ndugu zangu ninavyoandika hapa nishapiga simu zaidi ya 20 hapo Vodacom huduma kwa wateja lakini majibu yao ni tunashughulikia.
Baadae nikaamua kwenda Voda shop mjini huko nikaambiwa nitoe kopi ya kitambulisho na nikapewa masaa 24 hata hivyo hadi leo pesa haipo bank wala haijarejeshwa kwenye namba yangu ya Vodacom (akaunti yangu ya Mpesa).
Siku tatu zilizopita nilipiga simu hapo Vodacom akapokea kaka mmoja ambaye alinijibu kwa hasira na dharau kuwa maadamu ulipata meseji ya muamala Vodacom hatuhusiki hivyo nenda bank ukaangalie pesa yako.
Nilimwambia siku hiyo niliangalia pesa bank na haijafika hata hivyo kuna mfanyakazi hapo bank huwa ananisaidia sana kila nikihitaji kufahamu kama pesa ishaingia pia kupitia simu yangu ambayo imesajiliwa kupata taarifa mbalimbali za akaunti yangu.
Baada ya majibu ya huyo kaka nilipiga tena akapokea dada mmoja ambaye namshukru alinieleza kwa kina kuwa wao wakipokea pesa huwa wanazituma kwa vendor (kati ya shivacom sinauhakika) baadae ndipo zinaenda bank lkn wamekuwa wanatoa hizi taarifa hapo kwa vendor lkn hatoi mrejesho (anakaa kimya).
Ndugu zangu ni hatua zipi nichukue ili
(1) Nipate pesa zangu?
(2) Gharama na muda wa kufuatilia pesa zangu?
Tashukuru sana ndugu zangu ukizigatia pesa kwa wakati huu ni ngumu sana kuipata leo hii iko haijulikani ilipo.
NB: Niko tayari kutoa kumbukumbuku za huo muamala pm kwa atakayetaka kuhakiki.
Tayari wameshanichanganyaUshauri. Ukituma pesa kwa kutumia mobile banking na haijafika upande ule uliotumia kutuma. Kama umetuma bank m pesa komaa na bank na kama ni m pesa kwenda bank haijafika we komaa na m pesa. Vinginevyo hutopata majibu ya kueleweka utaona wanakuchanganya tu
Pole sana mkuuTayari wameshanichanganya