Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
POLE NA KWANGU HIVYO HIVYO. Muembe ulikuwa na maembe kma 1,000 sasa yamebaki kama 100... NILIPIGA DAWA LAKINI HAIKUSAIDIA LOLOTE. nITAIWEKA KESHO NAWE UJARIBUAssalam alykum. Naomba msaada.
Huu muembe wangu unadondosha embe changa karibu ya zote.
Nimetumia dawa ya wadudu na ile nyongeza ya vitamin lakini bado.
Nifanyeje?
Kama sio dawa ilikuwa feki basi ulikosea dawaPOLE NA KWANGU HIVYO HIVYO. Muembe ulikuwa na maembe kma 1,000 sasa yamebaki kama 100... NILIPIGA DAWA LAKINI HAIKUSAIDIA LOLOTE. nITAIWEKA KESHO NAWE UJARIBU
si kweli,nimefana hivyo miembe yote lakini ymepukutika kishenziHii sijui ni dawa au ulozi, ila kama unaweza jaribu piga msumari kwenye huo muembe. Nyumbani kulikua na shida hiyo akaja bibi mmoja kututembelea akatuambia tufanye hivyo baada yapo muembe haujaangusha tena maembe.
Huo sio ulozi bali umecheza na saikolojia ya muembe tu hivyo basi kugonga msumari muembe utafikiri unataka kukatwa hivyo ili uweze kuacha kizazi chake hai huzaa matunda ili kutunza uzao pia hata kama utataka usiwe na mpapai dume we piga msumari kwenye mpapai tuHii sijui ni dawa au ulozi, ila kama unaweza jaribu piga msumari kwenye huo muembe. Nyumbani kulikua na shida hiyo akaja bibi mmoja kututembelea akatuambia tufanye hivyo baada yapo muembe haujaangusha tena maembe.
Sasa mkuu kuna uhusiano gani Kati ya msumari na kukata mti? Hadi ukigonga msumari mti udhanie unataka kukatwaHuo sio ulozi bali umecheza na saikolojia ya muembe tu hivyo basi kugonga msumari muembe utafikiri unataka kukatwa hivyo ili uweze kuacha kizazi chake hai huzaa matunda ili kutunza uzao pia hata kama utataka usiwe na mpapai dume we piga msumari kwenye mpapai tu
simple logic ndio iyo
Mi nliwahi kuambiwa "kufanya hivo ni kama unaustimulate mmea yani unapata sense kuwa kuna ugonjwa ndani yake kwahiyo sijui unarelease vitu gani ambavyo vinauboost kuzaa" sijui kweliSasa mkuu kuna uhusiano gani Kati ya msumari na kukata mti? Hadi ukigonga msumari mti udhanie unataka kukatwa
Sawa mkuuMi nliwahi kuambiwa "kufanya hivo ni kama unaustimulate mmea yani unapata sense kuwa kuna ugonjwa ndani yake kwahiyo sijui unarelease vitu gani ambavyo vinauboost kuzaa" sijui kweli
Mti haujui kutofautisha kati ya kukatwa na kugongwa msumariSasa mkuu kuna uhusiano gani Kati ya msumari na kukata mti? Hadi ukigonga msumari mti udhanie unataka kukatwa
Mkuu hapa ulikuwa unanijibu au ulikuwa unaniuliza?Mti haujui kutofautisha kati ya kukatwa na kugongwa msumari
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Soma tena ndio utaelewaMkuu hapa ulikuwa unanijibu au ulikuwa unaniuliza?