Naomba ushauri wa kitabibu

marango

Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
81
Reaction score
9
Mwanamke akiwa anabanwa na mkojo mara kwa mara muda nwingine anatoka kukojoa lakini baada ya dakika tano tu anabanwa tena lakini hajisikii maumivu wala kuchoka wala dalili zingine za magojwa je hii husababishwa na nini na je ni tatizo la kiafya na je tiba yake ni nini?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu.@marango Nenda kamuone Daktari isije ikawa ndio Dalili ya ugonjwa wa kisukari au una mawazo mengi au una Stress za maisha?nenda Hospitali kapime kisha uje hapa utupe feedback.
 

>huyo mwanamke ni mjamzito?
>Kibiologia hali hii ni kawaida sana kwa mama mjamzito kwani tumbo la uzaz unyang'anya nafasi ya kibofu hivyo bas kibofu huwa kidogo na ujaa haraka.
 
iyo ni dalili ya sukari,maelekezo kama unataka kuakikisha kabla ya kkwenda hospitali,anapo kwenda kukojoa achukue mkojo kidogo alambe,ukiwa na usukari sukari,hiyo ni dalili ya kwanza,kwamba anao uwezekano mkubwa wa kupata kisukari,kama una chumvi chumvi,basi hana dalili za uwezekano wa kupata kisukari,
 
Some times ni Fungus

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…