tranter
Member
- Jan 10, 2023
- 40
- 46
Wasalaam?
Ungana na kichwa Cha habari hapo juu,Mimi ni kijana form6 leaver(PCM )nilikua naomba ushauri kwa course ambazo ni nzuri kwa kusomea na rahisi pia katika kujiajiri ukizingatia suala la ajira ni kipengele kwa Sasa.
Miongoni mwa course hizo ambazo ningependa kupewa ushauri zaidi ni pamoja na:
1. Mechatronics Engineering,
2. Computer Engineering & Information Technology,
3. Biomedical Engineering,
4. Acturial Science,
5. Cyber Security & Digital Content Engineering.
Nahitaji mawazo yenu zaidi.
Nawasilisha
Ungana na kichwa Cha habari hapo juu,Mimi ni kijana form6 leaver(PCM )nilikua naomba ushauri kwa course ambazo ni nzuri kwa kusomea na rahisi pia katika kujiajiri ukizingatia suala la ajira ni kipengele kwa Sasa.
Miongoni mwa course hizo ambazo ningependa kupewa ushauri zaidi ni pamoja na:
1. Mechatronics Engineering,
2. Computer Engineering & Information Technology,
3. Biomedical Engineering,
4. Acturial Science,
5. Cyber Security & Digital Content Engineering.
Nahitaji mawazo yenu zaidi.
Nawasilisha