Naomba ushauri wa kozi ya kusoma inayoendana na biashara

Naomba ushauri wa kozi ya kusoma inayoendana na biashara

Dans B

Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
10
Reaction score
6
Naitaji ushauri wenu wakubwa..
lengo langu ni kua mfanyabiashara wa kimataifa shida nafkilia kuhusu Course ya kwenda kusoma chuo kikuu inayoendana na hio kitu.
Msaada tafadhari
 
Ukiandika couse unakuwa unamaanisha nini mkubwa?
 
Ujasiriamali ni damu, ni kama talent ya kuimba au kucheza mpira hata usiposomea unaweza tu
 
Wewe soma kitu kinacholipa yaani rahisi kupata ajira na rahisi kutusua ingawa ajira ngumu iyo inakuwa object ya kwanza then focus kwenye biashara kama second goal.

Hiyo inaitwa mult goal ndivo tunavyofanya sikuhizi.
 
Duu biashara haisomewi bana
Havard collage of business hiki ni chuo namba moja kwa kozi za biashara kiko nchini Marekani. Business management courses, Sales and marketing courses etc
Halaf kuna mtu bado anakwambia biashara haiosomewi..... Shit
 
Havard collage of business hiki ni chuo namba moja kwa kozi za biashara kiko nchini Marekani. Business management courses, Sales and marketing courses etc
Halaf kuna mtu bado anakwambia biashara haiosomewi..... Shit
Unachofanya wewe unachanganya Real business na theory business certificate muelewe mtoa mada kwanza kabla ujaanza kuandika shit zako.
 
Unachofanya wewe unachanganya Real business na theory business certificate muelewe mtoa mada kwanza kabla ujaanza kuandika shit zako.
Nikitaka kua mwigizaji nitatafuta chuo kinachotoa kozi za uigizaji nikasomee (japo nina kipaji) why? sabab kipaji pekee hakitoshi kinahitaji kupigwa msasa na taaluma ya uigizaji (unless kama unataka kua mwigizaji wa kawaida tu!) alichouliza mtoa mada ni kuhusu kozi ya kusomea kitu kinachoendana na "Passion" yake wewe unamwambia "biashara haiosomewi" anyway tusibishane kwenye uzi wa watu wakati ndugu yetu ameomba msaada wetu.
 
Nikitaka kua mwigizaji nitatafuta chuo kinachotoa kozi za uigizaji nikasomee (japo nina kipaji) why? sabab kipaji pekee hakitoshi kinahitaji kupigwa msasa na taaluma ya uigizaji (unless kama unataka kua mwigizaji wa kawaida tu!) alichouliza mtoa mada ni kuhusu kozi ya kusomea kitu kinachoendana na "Passion" yake wewe unamwambia "biashara haiosomewi" anyway tusibishane kwenye uzi wa watu wakati ndugu yetu ameomba msaada wetu.
Ok cool atajua mwenyewe mtoa mada
 
Mkuu mimi nakushauri usomee Business Management courses. Zitakusaidia na kukupanua kimawazo kuhusu usimamizi wa biashara and when you will put into PRACTICE utakachosomea ndoto yako ya kua mfanyabiashara wa kimataifa itawezekana!
 
Mkuu mimi nakushauri usomee Business Management courses. Zitakusaidia na kukupanua kimawazo kuhusu usimamizi wa biashara and when you will put into PRACTICE utakachosomea ndoto yako ya kua mfanyabiashara wa kimataifa itawezekana!
Nikitaka kua mwigizaji nitatafuta chuo kinachotoa kozi za uigizaji nikasomee (japo nina kipaji) why? sabab kipaji pekee hakitoshi kinahitaji kupigwa msasa na taaluma ya uigizaji (unless kama unataka kua mwigizaji wa kawaida tu!) alichouliza mtoa mada ni kuhusu kozi ya kusomea kitu kinachoendana na "Passion" yake wewe unamwambia "biashara haiosomewi" anyway tusibishane kwenye uzi wa watu wakati ndugu yetu ameomba msaada wetu.
Nashkul kwa kunielewa
 
Mkuu mimi nakushauri usomee Business Management courses. Zitakusaidia na kukupanua kimawazo kuhusu usimamizi wa biashara and when you will put into PRACTICE utakachosomea ndoto yako ya kua mfanyabiashara wa kimataifa itawezekana!
Ahsant san kiongoz
 
Kozi ya kukufanya uwe mfanya biashara wa kimataifa,au??..niweke sawa tafadhali,.
 
Back
Top Bottom