Naomba Ushauri wa kuuza Biashara ya vitenge

GBorLog Mwakyembe

New Member
Joined
Jul 29, 2020
Posts
4
Reaction score
1
Ndugu zangu habari ya subuhi.

Naomba ushauri nataka kuanza biashara ya vitenge mkoa wa Mbeya (Tukuyu) kwa mtaji wa Tshs. million moja na nusu.

Kwa hiyo naombeni ushauri wapi naweza kujumua kwa bei nafuu na inaweza kunifikia kwa urahisi,

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…