Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Wadau mimi nalima sana mazao kama vitunguu, hoho, biringanya, bamia. Nimetenga nusu heka nataka nilime nyanya yenye kusapotiwa na miti ambayo inasemekana mavuno ni zaidi ya miezi 3.
Naombeni kama kuna mdau anajua jina la hii mbegu na utunzaji wake.
Nataka nifanye majaribio kwanza, nipande mwezi ujao ili mavuno nianze mwezi wa 12 ambapo nyanya inakuwa adimu kweli kweli kwa huku Singida.
Naombeni ushauri.
Naombeni kama kuna mdau anajua jina la hii mbegu na utunzaji wake.
Nataka nifanye majaribio kwanza, nipande mwezi ujao ili mavuno nianze mwezi wa 12 ambapo nyanya inakuwa adimu kweli kweli kwa huku Singida.
Naombeni ushauri.