mimi nimesia miche ya jarrah F1 Kampuni ya Rijk zwaan of course sio mingi ni kwa nyumbani tu kama miche 200 na nimechanganya na Victory F1, Mbegu za F1 zinafanya vizuri karibu zote kwa maana ya mavuno asila F1 ni ya muda mrefu. inachumwa mpaka miezi sita kama sikosei.
tafadhali zingatia haya unapolima nyanya
1. udongo usiotuamisha.
2. Kusiwe na mvua nyingi kama ni outdoor farming. yaan siyo green house.
3. Lazima upandie na mbolea
4. Piga dawa ya wadudu na ukungu kama rido mil gold, multipower n.k ukishapeleka miche shamba isizidi siku 14 tangu kupiga dawa.
5. Weka mbole ya kukuzia kama nitrabo baada 14 days, na zikikaribia maua weka mbole ya yaramila winner au hata urea ya kawaida.
6. fanya huduma nyingine kama kupunguza matawi na kutoa magugu.
kumbuka nyanya inavokuwa matunzo yanazidi.