Naomba ushauri wa namna ya kuanzisha biashara

Naomba ushauri wa namna ya kuanzisha biashara

Hhm

Member
Joined
Apr 28, 2010
Posts
69
Reaction score
14
Naomba mwongozo katika kuanzisha biashara ya spare za magari kama option no. 1 n.a. option no 2 ninayoifikiria ni biashara ya construction Hardware 3. Biashara ya kilimo. Naomba ushauri nipewe na changamoto zake , risk zake n.a. dada zake n.a. namna ambavyo hasira inaweza kupokea.
 
Back
Top Bottom