Usiwasikilize ni wivu tuJee zina matatizo gani hizi gari? Na kwanini wenzangu wanalalamika??
wanalalamika kwa sababu spea nyingi za nissan ni ghali,Jee zina matatizo gani hizi gari? Na kwanini wenzangu wanalalamika??
Shukran sana kama tatizo spea ni ghali ilo sio tatizo kwangu, nilitaka tu nijue madhaifu makubwa ya hizi gariwanalalamika kwa sababu spea nyingi za nissan ni ghali,
Pili ukitaka kuuza nissan haiuziki haraka kama toyota..
Vinginevyo ni gari nzuri.
Udhaifu mkubwa nissan nyingi kwenye injini hazitaki spea feki...Shukran sana kama tatizo spea ni ghali ilo sio tatizo kwangu, nilitaka tu nijue madhaifu makubwa ya hizi gari
Nitafata ushauri na nitakuja na marejeshoUdhaifu mkubwa nissan nyingi kwenye injini hazitaki spea feki...
weka plugs genuine, oil filter, air filter, engine oil nzuri na transmission fluid iliyopendekezwa..hapo utafurahia kinyume ni hapo itaichukia bure
Ni gari nzuri sana.Hazina matatizo yoyote yale ila wenye matatizo ni binadamu/wewe.Wenye matatizo ni binadamu/wewe kwa sababu unapaswa:Jee zina matatizo gani hizi gari? Na kwanini wenzangu wanalalamika??