Naomba ushauri wa Pikipiki nzuri kwa biashara

Naomba ushauri wa Pikipiki nzuri kwa biashara

ProudlyG

Member
Joined
Dec 18, 2018
Posts
15
Reaction score
4
Naombeni ushauri ndugu zangu nataka kununua pikipiki mpya ya biashara (kupakia abiria) kampuni gani nzuri bajet isizid 2.5
 
Ukiwa maeneo yasiyo na lami chukua Sun-LG..
Ni ngumu pia zinauzika chapu kwa maeneo ya barabara za vimbi. Hata lami
 
Sio kibiashara kivipi wakati wateja wangu wengi ni warembo. Wanaoendaga viwanja kujirusha au wakiwa wanaenda kwenye kugegedwa
au sio, nilidhani unawabinua hivyo na boxer ili ukawagegede

Enzi izo niko secondary fantasy yangu ilikuwa kuvaa leather zile koti halafu kumbeba pisi aliebinuka kwenye zile Yamaha xl kwenda kumgegeda
 
Hivi hizi piki piki za mchina za 150cc hua zina uwezo wa kusafiri mbali kama kuvuka mikoa miwili mitatu per day pasi kuleta tatizo lolote?
 
au sio, nilidhani unawabinua hivyo na boxer ili ukawagegede

Enzi izo niko secondary fantasy yangu ilikuwa kuvaa leather zile koti halafu kumbeba pisi aliebinuka kwenye zile Yamaha xl kwenda kumgegeda
Kuna uzi wenu wa fantasy
 
Uko wapi huo
 
Vuta TVS ukiitunza inakaa muda mrefu kuliko hayo ya kichina japo kama utakuwa unabeba mizigo sun lg ipo vizuri
 
Back
Top Bottom