Jaman wadau najua raman zinauzwa n.k.....hapa jukwaan tunasaidiana....hvyo naomba kwa ambaye amejenga kwake au kwa rafk, tafadhal share na mm..
Nakushauri utafute mtaalam akuchoree maana hujajua umuimu wa ramani na kua ramani inategemean na mazingira yako yalivyo na maitaj yako.Jaman wadau najua raman zinauzwa n.k.....hapa jukwaan tunasaidiana....hvyo naomba kwa ambaye amejenga kwake au kwa rafk, tafadhal share na mm..