Habari zenu wadau?
Natumai hamjambo wakubwa heshima kwenu.
Nina kiwanja changu kidogo ambacho kina 34ft urefu
22ft upana
Ambacho kipo KatiKati baina ya nyumba na nyumba.
Sina mashaka na urefu wa kiwanja kwa sababu mbele Kuna njia na nimeshaacha nafasi ya kutosha lakini napata shida kwenye upana ambao Ni 22ft kabla ya kuacha space Kati ya nyumba na nyumba.
Nilijaribu kuandaa kijiramani kidogo ambacho kina chumba,sebule,jiko na choo ambacho pia hakipo kitaalam.
Ramani hiyo niliiandaa kulinga na ukubwa wa eneo liliopo kwa upeo wa akili yangu.
Naomba ushauri wenu kuanzia kwenye kiwanga mpaka kwenye ramani yenyewe kipi kifanyike ili niweze kufanya marekebisho kulingana na maoni ya wadau.
Naomba kusilisha.
Natumai hamjambo wakubwa heshima kwenu.
Nina kiwanja changu kidogo ambacho kina 34ft urefu
22ft upana
Ambacho kipo KatiKati baina ya nyumba na nyumba.
Sina mashaka na urefu wa kiwanja kwa sababu mbele Kuna njia na nimeshaacha nafasi ya kutosha lakini napata shida kwenye upana ambao Ni 22ft kabla ya kuacha space Kati ya nyumba na nyumba.
Nilijaribu kuandaa kijiramani kidogo ambacho kina chumba,sebule,jiko na choo ambacho pia hakipo kitaalam.
Ramani hiyo niliiandaa kulinga na ukubwa wa eneo liliopo kwa upeo wa akili yangu.
Naomba ushauri wenu kuanzia kwenye kiwanga mpaka kwenye ramani yenyewe kipi kifanyike ili niweze kufanya marekebisho kulingana na maoni ya wadau.
Naomba kusilisha.