The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Wakuu habarini ndugu.
Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja simple bajet ya kununulia kiwanja ni 25 mil.
Naomba ushauri sio udalali.
Asante.
Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja simple bajet ya kununulia kiwanja ni 25 mil.
Naomba ushauri sio udalali.
Asante.