Wakuu habarini ndugu.
Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja simple bajet ya kununulia kiwanja ni 25 mil.
Naomba ushauri sio udalali.
Asante.
yu masti bi jiniasi, namimi nilitaka kumwambia hivyo hivyoKama dar nenda makongo juu,au goba kupitia njia ileile ya makongo juu,barabara ni mbovu but wanaitengeneza soon maana budget yake ilishatolewa
yu masti bi jiniasi, namimi nilitaka kumwambia hivyo hivyo
Wakuu habarini ndugu.
Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja simple bajet ya kununulia kiwanja ni 25 mil.
Naomba ushauri sio udalali.
Asante.
Kama dar nenda kigamboni...
Ingawa ndani ya miaka 5 kutakuwa na tatizo la foleni ya kufa mtu
daraja si linakamilika?
Nenda chanika shuka kituo kinaitwa "Italian" mbele kidogo kuna nyumba za nssf kuna viwanja vya serikali vimepimwa hope huwezi jutia hiyo hela yako.
BY:Mkulimasana1Wakuu habarini ndugu.
Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja simple bajet ya kununulia kiwanja ni 25 mil.
Naomba ushauri sio udalali.
Asante.
Goba na Makongo naungana nawe na hasa kwa kuwa unaongelea kujenga gorofa.Kama dar nenda makongo juu,au goba kupitia njia ileile ya makongo juu,barabara ni mbovu but wanaitengeneza soon maana budget yake ilishatolewa
Wakuu habarini ndugu.
Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja simple bajet ya kununulia kiwanja ni 25 mil.
Naomba ushauri sio udalali.
Asante.
njoo makongo juu kiwanja kipo vizuri sana umeme na barabara ni uhakika..kiwanja kina upana wa meter 22 na urefu meter 17 ...kiwanja kipo karibu na UDSM pamoja na ARDHI UNIVERSITY dar es salaam ...bei million 20 mkuu hakuna udalali wala longolongo