Heshima yenu wakuu!! 2012 nimemaliza o_level nikapata dv4 ya points 26.,
hist_c,
kisw_c,
civ_d,
geo_d,
engl_d,
bios_d,
chem_d,
math_f
nimejarbu kuomba ualimu pamoja na vyuo vya afya vyote nimekosa,,naomba ushauri wako nifanyeje ili kabla mwaka huu haujaisha niende shule maana jinsi navyozid kukaa nyumban sifa nazo zinapungua,,
pia naomba kuuliza je kwa matokeo haya naweza kujiunga na advanced level??
ushauri wako ni muhimu sana kwangu...! NAWATAKIA KAZI NJEMA!