Naomba ushauri wako!

..uko na problem moja weye una kitu yaitwa spiritual wife/husband ndo imeku-attack( hii itaendana na jinsia yako kama we ni ke basi spiritual husband na kama we ni me basi una spiritual wife). hapo ni maombi tu yakafanyike kwa wote wawili kwani mko possessed, na bora umejitambua mapema kwani mngefika stage fulani hivi mbona ungekoma..chukua hatua
 

nadhan hauko sure if u really lov that gal,take some tyme to think about your felings to her:
 
umweshamwambia uyo mpnz wako ilo tatzo? Labda anaweza kujua akusaidie vp,iwe ni kwakukukumbusha km ye ni mpenzio mara kwa mara kuptia mesej au cm manake inaonekana huwa hukumbuk kabsa km una mpnz na uwajbikaj wako kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…