tecknologia23
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 259
- 382
Mie ninafanya biashara za sendol za kimasai, ila sipati kazi nyingi kama zamani na maisha haya naonelea huu muda napoteza Bora nifanye vyote yaani ni ajiriwe huku nikiendela na biashara ya sendol.
Ila kabla sijaweka muhuri nishaurini Tadhali
Ila kabla sijaweka muhuri nishaurini Tadhali